Usiku
ulikuwa ni usiku wa furaha na kumtukuza Mungu, Erick Brighton ndiye
mlengwa mkubwa katika party ya ambaye aliwakusanya watu kwaajili ya
kuwakutanisha maproducer, waimbaji, watangazaji wa radio na TV,
mabloggers na wachekeshaji, na kubwa zaidi ilikuwa ni siku ya kumchangia
Erick katika harusi yake itayofanyika karibuni.
Blogger weeeeeeeeeee..uza sura
Mzee wa Blogu, Rulea Sanga (kulia) nikijipendekeza kwa mtalaamu wa magonjwa sugu Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic
Kike inapukutika
Mtangazaji wa Praise Power Erick Brighton katikati akijiandaa kuwalisha kike wapenzi wake
Kitu kike
Kamati ya maandalizi
Rosemary mwenye hand bag akitokelezea
Haya sasa ------ Mtangazaji wa Channel Ten, Boniface Magupa akiwa na mtarajiwa wake Jessica Honore
Emmanuel Mabisa akiwa amewekwa kati na kundi la Double E
Uimbaji ukiendelea
Mtangaji wa Praise Power George Mpella (kushoto) akiwa na Mkurugezi wa kampuni ya Dolphin, Mr Kwayu
Mchekeshaji, Msanja Mkandamizaji (kushoto kwa hao waliosimama) akikandamiza na mdau wa blogu hii.
Kamati ikicheki mpunga kama uko sawa baada ya party kuisha
Mwimbaji wa nyimbo za injili na kijana anayesomea mambo ya IT, Anania siku ya party alijikita sana katika kitengo cha mitambo
Furuuuuuu rahaaaa
Mc wa siku hiyo Makondeko akitupia jicho katika kamera
Silas Mbise akikandamizwa kike na dada Benzon
Mchungaji akiwa katika vazi la jeshi
Utajuaje kama tulipata kike..kula rafiki yangu
Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji akikandamizwa makekizzzzzz
No comments:
Post a Comment