RUMA AFRICA INVITE YOU TO WATCH EMMANUEL TV -TB JOSHUA LIVE

Tuesday, July 17, 2012

MAREHEMU KAKA YANGU AMIR SANGA

Huyu ndiye kaka yangu aliyenisomesha kuanzia darasa la kwanza mpaka namaliza chuo cha IFM jijini Dar es Salaam. Ni kaka ambaye amenilea, mbali na kunisomesha.
 
Kaka yangu alifariki katika hospitali ya Muhimbili baada ya kuhamishwa katika hospitali ya Iringa. Kaka alikuwa anasumbuliwa na figo, pia kuvimba miguu na tumbo. Ameacha watoto watano na mke mmoja.

Kipindi cha uhai wake alikuwa mfanyabiasha maarufu sana Mafinga Iringa akijulika kama "Short"

Mungu Mkumbuke


Mungu akuweke mahali pema peponi..Amina

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...