RUMA AFRICA INVITE YOU TO WATCH EMMANUEL TV -TB JOSHUA LIVE

Tuesday, July 17, 2012

OFISI YA MKUU WA MKOA WA SINGIDA.

Kipindi hiki nilikuwa nikifanya kazi katika kampuni ya Roos kama PR wa Tigo na Graphic Designer. Roots ilinitumakwenda Sigida kama PR wa TIGO. Tigo ilikuwa inagawa vitabu kwa wanafunzi wa shule ya Msingi
 Nikiweka saini yangu katika katibu cha wageni wanaotembelea ofisi hiyo
 Nikipigwa maswali na mkuu wa mkoa

 Muwakilishi kutoka wizara ya elimu, Dar es Salaam (kulia)

AJALI YA MOTO SINGIDA MJINI
 Wakazi wa Singida wakishuhudia dmaduka yanavyoungua, chanzo chake ni hitilafu ya umeme


NYUMBA YA WAGENI NILIYOFIKIA
Guest niliyofikia
Kitanda kizuri  nilichotumia nikiwa Singida

 Nikiwa wa wananachi wa Sindiga katika tukio la moto uliounguza baadhi ya maduka

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...