RUMA AFRICA INVITE YOU TO WATCH EMMANUEL TV -TB JOSHUA LIVE

Friday, August 10, 2012

MKURUGENZI WA RUMA AFRICA RULEA SANGA AKIWA IMBEYA KATIKA MSIBA WA BINAMU YAKE NOEL

Baada ya kufika msiba Mbeya, nilikumbana na Msiba mwingine wa ndugu yangu anaitwa Roda Chaula aliyefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu mjini Mbeya. Sikubahatika kuwahi mazishi ya binamu yangu Noel. Picha hizo hapo chini ni mazishi ya ndugu yangu Roda

SAFARI YA KUELEKEA MBEYA ILIANZA


Nikiwa maeneo ya Morogoro kwaajili ya chakula


Nikiwa eneo fulani silijua, ila watu walikuwa wanachimba dawa, (umenielewa nadhani)

NIKIWA MBEYA MWANJELWA


Nikiwa maeneo ya Mbeaya Mwanjelwa, nikielekea makaburini

NIKIWA MBEYA ISANGA


Kaburi likichimbwa

Marehemu Roda Fungo

Kilio na majonzi kilitawala

Mwili wa marehemu ukisubiriwa kutelemshwa maeneo ya makuburi-Isanga



Tukielekea eneo la kaburi

Blogger wenu Rulea Sanga (kulia) nikiusindikiza mwili wa ndugu yangu

Kilio Kilio ndio ulikuwa wimbo wa siku hiyo

Aliyevaa kofia ni binamu yangu, Fred (Full Dozi)




BAADA YA MSIBA KUISHA NILIEKEA NANE NANE MBEYA SIKU YA LEO JUMATATU




No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...