RUMA AFRICA INVITE YOU TO WATCH EMMANUEL TV -TB JOSHUA LIVE

Monday, September 17, 2012

RULEA SANGA KIPINDI YUKO SHULE YA SEKONDARI NJOMBE (NJOSS) 1995-1998 KIDATO CHA KWANZA HADI CHA NNE


 Rulea wa pili kutoka kushoto nikiwa Mbeya kipindi cha likizo
 Rulea Sanga niliyevaa sandos nikisoma bwenini
 Rulea Sanga kushoto nikiwa na kikundi cha Tambaza. Kutoka kulia ni Allen Mwihava, wa tatu ni Nasoro, Tryphone na Embagise

 Rulea sanga kulia nikiwa na rafiki yangu niliyempenda sana shuleni
 Rulea sanga nikiwa na marafiki zangu, kulia ni Samy ambaye kwa sasa ameokoka, Yusuph
Nikiwa Disko

 Rulea sanga katikati katika mapozi..Mungu anisaidie
 Rulea sanga wa pili kutoka kushoto nikiwa na rafiki zangu Mbeya kipindi cha likizo
 Rulea Sanga wa pili kushoto nikiwa na rafiki zangu wa kidato cha pili
 Rulea Sanga wa tatu kutoka kushoto nikielekea mjini kuzurula wakati wenzangu wako darasani
 Rulea Sanga wa pili kutoka kulia nikionyesha mapozi ya mamtoni, na rafiki zangu wa Tambaza
 Kutoka kushoto ni Fikiri, Simon (niga), Deo ambaye alipata Division One, Rulea Sanga
 Rulea Sanga wa pili kutoka kulia nikiwa na class mate zangu. Kulia ni Samy Black
 Rulea Sanga kulia, nikiwa najisomea na rafiki yangu Fadhili Rwendo ambaye sasa hivi ni Mwanashera (Wakili)
 Rulea sanga wa pili kutoka kushoto, wakati wa gradution yangu kidato cha nne
 Rulea sanga nikiwa katika gari la Marehemu kaka yangu Amir Sanga maeneo ya Mafinga Iringa wakati wa likizo
 Nikipata chakula cha jioni katika Dinning Hall NJOSS
 Rulea Sanga wa tatu kutoka kushoto nikiwa na kundi la Tambaza
 Rulea Sanga, kulia nikiwa na wadogo zangu wa kidato cha pili, wakati mimi nikiwa kidato cha tatu
 Rafiki yangu Tryphone ambaye aliruka na Division One kidato cha nne wa kwanza kulia
Nikiwa katika bustani yangu-NJOSS
 Kikundi kutoka Tambaza
 Rulea sanga wa pili kutoka kushoto nikiwa kidato cha pili na classmate wangu
 Nikiwa kidato cha nne, niliyechuchumaa

ANGALIA PICH

 Rafiki yangu niliyempenda sana wa kitaa, anaitwa sebastian. Huyu jamaa alikuwa kichwa sana Chuo Kikuu ila watu walimchezea akawa chizi. Ila kiingereza usimguse
 Nikiwa kanisani Mafinga kipindi cha likizo, niliyechuchumaa
 Katikati ni Rulea sanga nikiwa na rafiki zangu, Tryphone (kushoto) na Sanjigwa
 Nikiwa katikati na classmate, kushoto ni Onesmo Mhewa ambaye aligonga Division One kidato cha nne
 Nikipiga Basketball
Rulea Sanga nikivalishwa taji wakati wa garaduation yangu ya kidato cha nne. Kushoto ni Timoth
 Rulea nimkiwa katika pozi ambalo silielewi kiukweli


 Rulea sanga kulia nikiwa bwenini na David Mhonzo










 Rafiki yetu alitutoka shuleni Njombe na kupelekwa kuzikwa kwao Mbeya
 Nikiwa maeneo ya Mafinga sokoni na rafiki yangu kipindi cha likizo
 Nikiwa disko katika ukumbi wa shimoni kwa No Sweat Mafinga kipindi cha likizo




 Nikiwa Disko Mafinga katika ukumbi wa hospitali ya Mafinga kipindi cha likizo



 Rulea Sanga nikiwa katika korido karibu na darasa langu











No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...